Hapana chembe ya shaka kuwa katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 CCM ilishindwa. Tena si kushindwa kidogo imeshindwa kiasi ambacho hakuna wasiwasi wowote kwamba Chama cha Upinzani CUF ndio washindi wa dhahir. Kwa kulinganisha takwimu zilotolewa katika vituo ambazo CUF ilifanya bidii ya ajabu kuzikusanya ambapo taarifa hizo zina matokeo ya vyama vyote, na CUF kuchukua …
JPM apingwa msimamo wake wa Zanzibar
Siku moja baada ya Rais John Magufuli kusema hatoingilia mgogoro wa kisiasa Zanzibar kutokana na kuheshimu utawala wa sheria, vyama na watu wa kada mbalimbali wamepinga hatua hiyo ya Rais. Katika hotuba yake ya dakika 55 juzi wakati akizungumza na wazee wa Dar es Salaam, Rais Magufuli alisema uamuzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) …