Maneno hayo yamesemwa jioni ya leo tarehe 28/02/2021 na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Ndugu Abdallah Mabodi, alipofika na ujumbe wa Sekretarieti ya Chama hicho kwa upande wa Zanzibar, kutoa mkono wa pole kwa Uongozi wa Chama cha ACT Wazalendo katika Ofisi kuu za Chama cha ACT zilizopo Vuga Wilaya ya …
Continue reading "CCM: Maalim Seif ni msingi wa Maendeleo ya sasa Zanzibar"